MATOKEO KIDATO CHA 4:
Wanafunzi 277,283 (asilimia 70.09) waliofanya mtihani 2016 wafaulu, NECTA yatangaza.
Wavulana wafaulu kwa asilimia 73.26, wasichana 67.06.
Shule za Dar zaongoza washika mkia matokeo ya kidato cha Nne.
Matokeo yote yapo hapa
>http://41.188.136.77:8080/matokeo/2016/csee/index.htm
Matokeo ya Qt haya hapa
> http://41.188.136.77:8080/matokeo/2016/csee/QT2016.html
0 Comments "MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2016"