
Maana halisi wa neno PROPAGANDA ni hali ya kulifanya jambo lolote la kweli kuwa si la kweli na uongo kuwa kweli ktk kumuaminisha au kushawishi mtu au kundi la watu kuamini hivyo msemaji anavyosema.
Kwa maana nyingine PROPAGANDA haina tofauti na UNAFIKI,FITINA,KUSENGENYA AU UMBEA.
Kazi hii ufanywa na watu wenye uwezo mkubwa wa kuweza kupanga maneno,matukio kwa umakini zaidi kiasi kumfanya mtu anayeambiwa kuamini taarifa anazopewa kuwa ni za kweli kabisa ikiwa tu hatofanya utafiti wake wa ziada ktk kujiridhisha na taarifa hizo.
Kupitia aina mbalimbali za mbinu zinazotumika ktk kutimiza lengo hilo watu ujikuta wakiwachukia wenzao,ndoa kuvunjika,urafiki kuharibika au kuingia ktk migogoro mizito ya kifamilia,kijamii,kikazi na hata ya kimataifa.
Kupitia matumizi halisi ya neno hili unaweza kujikuta unapenda au kuchukia mtu,kitu au eneo fulani ikiwa tu hautofanya uchunguzi ktk kujiridhisha na taarifa ulizonazo juu ya mtu,kitu au eneo fulani.
Vita zote zilizowahi kupiganwa duniani hata ile ya kwanza 1914-1918 na ya pili 1939-1945 na hizi tunazosikia na kushuhudia sasa duniani sio zote zina sababu za kweli ktk kuahalalisha vita hizo.

SWALI LANGU LA MSINGI (JE DUNIA INAVYOMUONA NA KUMTAMBUA ADOLF HITLER KWA UBAYA WAKE NDIVYO VIVYO HIVYO WAMUONAVYO WAJERUMANI WENYEWE?

Unaposoma historia yao ya kufikia uchumi na maendeleo makubwa hayo bila shaka hautaacha kutaja mchango mkubwa wa Adolf Hitler kwa zaidi ya asilimia 70%,hitler aliweza kuiondoa ujerumani ktk umasikini uliopindukia,uvamizi wa mataifa ya nje,kuongeza silaha na nguvu za kijeshi,miundombinu ya barabara,afya,elimu n.k.
Hitler hakuwa mtu wa kubabaishwa na taifa lolote wakati wa utawala wake wote wa chama cha NAZI,hitler alijua wazi kinacho tusababisha kuwa masikini wa kutupwa sio ukosefu wa rasilimali au watu bali ni udhaifu wa kusimamia sera,sheria na kanuni ktk utekekelezaji wa mambo yao wanayoyapanga.
Ni muhimu sana kwa mwanadamu kufanyia utafiti au uchunguzi wa kina kwa kila taarifa uzosikia,kupewa au kuona kabla ya kutoa maamuzi au kukata shauri,hii itaepusha sana kuleta madhara yatokanayo na athari za Propaganda.
(Wenye mawazo chanya bila shaka watakuwa wamenielewa vyema)

0 Comments "PROPAGANDA (Vile unayosikia au kuona sivyo ilivyo au ndivyo sivyo)"