
Watu waliofanya hivyo bado hawajajulikana na hakuna taarifa rasmi hadi sasa kama wamekamtwa au la.
Mwanasheria huyu wa kujitegemea amejikuta ktk misukosuko mara kwa mara na serikali hasa ktk kufichua mambo mengi ya serikali yakiwemo ya mikataba hewa.taarifa kamili zitawajia ..........
0 Comments "TUNDU LISSU MAHUTUTI BAADA YA KUPIGWA RISASI"