ASKOFU MUGADZA AMTABIRIA KIFO RAIS MUGABE

Askofu Mugadza wa kanisa moja ktk jiji la Harare ametabiria kifo rais Robert Mugabe ambaye kwa sasa ana umri wa miaka 93 kuwa  Kiongozi huyo wanaemuona kama dikteta kwa kipindi kirefu cha utawala wake toka mwanzoni mwa miaka ya 1980 alipoitoa nchi hiyo ktk utawala wa kikoloni wa waingereza kuwa rais mugabe kifo chake kitakuwa tarehe 17 mwezi Octoba 2017.
 
Hata hivyo Mugabe amekana taarifas hizo na kusema kamwe yeye hatokufa ktk tarehe kama hizo na watasubiria sana juu ya kifo chake ambacho watu wachache ambao ni wapinzani wanaotaka madaraka kinguvu.

Mugabe amekuwa adui kwa mataifa ya nje baada ya kupitisha sheria ya ardhi iliyowafanya wakulima wengi wakubwa wa kizungu kuondoka na kuyaacha mashamba hayo kwa waafrika ambao wengi wameshindwa kuyaendeleza na mengi yake kufa kabisa,uchumi wa zimbabwe umedolola kwa kwa kiasi kikubwa sana kutokana na vikwazo ilivyowekewa na mataifa ya ulaya na marekani.

Share :

Facebook Twitter Google+
0 Comments "ASKOFU MUGADZA AMTABIRIA KIFO RAIS MUGABE"

Back To Top