
Vikundi hivyo ni kama vya al qaeda,Hezbollah,ISIS,kuwa na mahusiano na uturuki,irani,kueneza taarifa za uongo kupitia kituo chao kikubwa cha Al jazeera na kuweka kituo cha kijeshi cha uturuki ndani ya Qatar.
Jana Qatar ilitakiwa kuachana na mambo hayo kukifunga kituo hicho cha matangazo ikiwemo na kulipa fidia kwa mataifa hayo kwa kusababisha hasara kwa kuwekwa kwa vikwazo hivyo.

Kuwait ilitoa siku 10 tu kwa Qatar kuyafanyia kazi mambo hayo la vyenginevyo wataiwekea Qatar vikwazo vigumu zaidi ya hivyo.
Taifa hili dogo kabisa la ghuba ya mashariki ya kati ni miongoni mwa mataifa taijri kwa kutegemea rasilimali ya gesi na mafuta inayopatikana hapo kwa wingi.
0 Comments "QATAR YAKATAA MATAKWA 13 YA KUWAIT NA KUSEMA MAMBO YASIYO MASHIKO WALA KUTEKELEZEKA KAMWE "