
Miongoni mwa masharti ambayo Doha wamepewa kutoka nchi za Misri,yemen,saudi arabia,umoja wa falme za kiarabu, ni kuwa wanaitaka Kufunga kituo chake cha matangazo cha Al-jazeera chenye makao yake makuu ktk nchi hiyo,Kuacha kuwasaidia wanachama wa chama cha Mohamed morsi cha Muslim brotherhood cha misri,kufungwa kwa kituo cha kijeshi cha uturuki kilichopo ndani ya nchi hiyo,kuacha mahusiano na jamuhiri ya kiislam ya Irani.

Kuacha mafungamano na chama caha Hezbollah cha Lebanon,Al qaeda,ISIL au ISIS,qatar pia wamepewa sharti lamkuacha kuwapa uraia watu kutoka nchi nne.

Mpaka sasa qatar bado hawajatoa jibu lolote juu aya masharti na matakwa hayo kutoka kuwait.
0 Comments "QATAR YABANWA MAHALI PABAYA:YAPEWA MASHARTI 13 KUYATIMIZA NDANI YA SIKU 10 ILI KUONDOLEWA VIKWAZO"