JPM AZINDUA MRADI WA MAJI WA RUVU JUU

Rais John Pombe Magufuli amezindua mrai wa maji leo eeo la ruvu juu ambao ulishakamilika toka mwezi agosti 2016 na kuwa ktk majaribio.

Akiwa ktk ziara ya siku tatu ktk mkoa wa pwani iliyoanza jana ktk eneo la kibaha mjini maili moja eneo la bwawani kwa kuwahutubia mamia ya wananchi waliohudhguria eneo hilo na kuwaeleza mipango na mambo mbalimbali ambayo serikali inaitekeleza kwa ajili ya wananchi.

Magufuli amezundua maradi huo wa maji ambao umejengwa na kukamilika kwa fedha za msaada kutoka serikali ya india zilizotolewa na Waziri mkuu wa india Narendra Modi alipotembelea nchini mwaka jana na kutoa zaidi ya dola milioni 500 kwa afrika mashariki kwa jaili ya kuhudumia miradi ya maji pekee,Tanzania imebahatika kupewa dola milioni 92 za kimarekani.

Kukamilika kwa mradi huu kutatatua matatizo ya upatikanaji wa maji kwa mikoa ya Pwani na Dar es salaam ambapo watu wanapata maji chini ya kiwango na baadhi ya maeneo kutopata kabisa.


Share :

Facebook Twitter Google+
0 Comments "JPM AZINDUA MRADI WA MAJI WA RUVU JUU"

Back To Top