


Baada ya kuibuka kwa mgogoro wa ghafla wiki chache tu baada ya rais wa marekani Donald Truph kufanya ziara yake ktk mashariki ya kati kwa nchi za israel,saudi arabia na kuleta changamoto kwa nchi zote zinazoonekana kusaidi kwa kukua na kusambaa ugaidi ktk kanda hiyo na hata nje.
Baadhi ya nchi kama UAE,Misri,saudi arabia zimeamua kufuta kwa urafiki wao wa kidiplomasia,kiuchuni,kibiashara na Nchi ya Qatar kwa kuishutumu kuhusika na kusaidia wanaharakati wa Hamas,Hizbollah,serikali ya rais Asad ya syria kuendelea kufanya maangamizi kwa mashariki ya kati na duniani kwa ujumla,Mataifa haya kwa pamoja yameiwekea Qatar vikwazo vya kiuchumi ilikuacha na mipango yake hiyo kwa magaidi kama inavyoshutumiwa licha ya Qatar kupinga kauli hiyo.

Kwa mda mrefu Irani,Syria Qatar zimekuwa zikilaumiwa kwa kukumbatia magaidi na kupanga mashambulizi mbalimbali ndani na nje ya mashariki ya kati.
0 Comments "IRAN,UTURUKI ZAWAONYESHA JEURI YA FEDHA WAARABU WENZAKE,MAREKANI KWA KUPELEKA NDEGE TANO ZILIZOSHEHENI VYAKULA QATAR"