
Uteuzi huu uliofanywa na Rais wa jamhuri wa muungano wa Tanzania Mh.John Pombe Magufuli umewafanya watu wengi kuendelea kushangaa kwa Rais kuwa na roho ya kuweza kuchaguwa watu kutoka vyama vya upinzani na kuwapa vyeo va juu kama alivyofanya kwa Agustino Liatongo Mrema kuwa mwenyekiti wa Parol,Kitila mkumbo kuwa kamishna wa Dawasco na hii ya Anna Mghwira kuwa mkuu wa mkoa kilimanjaro.

Taswira hii inaonyesha ni jinsi gani Rais magufuli alivyokuwa hana mambo ya ukabila,udini,uchama na hata ukanda au kungalia watun wa juu pekee.
0 Comments "ALIYEKUWA MGOMBEA URAIS ACT WAZALENDO BI.ANNA MGHWIRA AWA MKUU WA MKOA KILIMANJARO"