KUTANA NA MELI KUBWA ZINAZOTUMIKA KUTAFITI,KUCHIMBA ,KUPEMBUA MAFUTA NA GESI

Kadri dunia inavyoenedelea mbele ndivyo teknologia ya kisasa zaidi inavyogundulika ktk kila sekta zikiwemo usafiri,kilimo na ufugaji,viwanda,afya,utalii n.k

Huko nchini uingereza kampuni kongwe na kubwa kwa utafiti,uchimbajin na kupembua mafuta na gesi duniani ya Shell imeamua kuunda meli yake yenyewe kubwa itakayotumika ktk shughuli zao hizo za uchimbaji wa mafuta na gesi ktk bahari zenye vina virefu zaidi.

Mafuta na gesi ambazo hupatikana ktk bahari kubwa huwa yanahitaji teknolojia ya hali juu ktk kuyachimba na kuvuna kwake kutokana na dhoruba za baharini kama vimbunga,radi naTusnami hivyo bila kutumia vyombo vyenye nguvu na kisasa zaidi ktk kupata rasilimali hizi za gesi na mafuta ambazo hupatikana ktk vinan virefu zaidi vya bahari.

Nchi ambayo imebarikiwa kuwa na rasilimali hizi mbili za mafuta na gesi basi uweza kuatjirika na kuendelea kwa kutumia baraka hiyo. Baadhi ya nchi chache duniani zimebarikiwa kuwa na araka ya kuwa na rasilimali hizi za mafuta na gesi kama Nigeria,libya,usa,urusi na nchi za mashariki ya kati kama saudi arabia,irani,syria,kuwait,united arab emarates n.k kwa kuwa na kiasi kikubwa cha mali hii.

Licha ya mataifa hayo kuwa na rasilimali hii kwa kiasi kikubwa bado kitu kikubwa kinachosumbua mtaifa hayo hasa ya afrika na mashariki ya kati ni teknologia ya kuyatafuta na kuyachimba mafuta na gesi hiyo hasa inapopatikana ktk vina vya bahari kuu.

Kampuni ya shell imeamua kutengeneza meli yake ijulikanyo kama Pioneering Spirit kwasasa ikikjulikana kama (Pieter schelte) yenye urefu wa mita 382 sawa na viwanja vinne kasoro vya mpira wa miguu,upana wa mali hii ni mita 124 sawa na kiwanja kimoja na robo cha mpira wa miguu.

Meli hii ikiwa haina mzigo ina uzito wa tani 24,500 elfu na uwezo wa kunyanyua mzigo kufikia tani  tani 48,000 elfu, ina uwezo wa kubeba Galoni laki 143000gharama za ujenzi wa meli hii ni zaidi ya dola bilioni 2.4.

Baadhi ya meli nyingine kubwa ni kama ile ya Brent delta urefu mita 298.5,Eiffel tower mita 324,Blue Marlin yenye uwezo wa kubeba tani 10,0000.



















Share :

Facebook Twitter Google+
0 Comments "KUTANA NA MELI KUBWA ZINAZOTUMIKA KUTAFITI,KUCHIMBA ,KUPEMBUA MAFUTA NA GESI"

Back To Top