NI NJIA ZIPI ZINAZOFAA ZAIDI KTK KUCHAGUA GARI ILIYO BORA,SALAMA NA IMARA ZAIDI?





Unapohitaji kununua na kumiliki gari kwa ajili ya matumizi yako binafsi au kifamilia basi hunabudi kutazama mambo mengi sana ya kuzingatia!


Yafuatayo ni mambo ya kuzingatia kabla ya kununua au wakati wa kukata shauri ya kupata gari kwa ajili ya mizunguko yako!

1.Umbile au umbo la  Gari husika lina  mvuto kwao na hata watakaloliona.

2.Rangi  ya Gari pia ni muhimu sana kwa mununuzi kuzingatia.

3.Ukubwa au aina ya matumizi au idadi ya watu unayokusudia ibebe kwa wakati mmoja.

4.Ulaji au matumizi ya mafuta kwa safari.

5.Spidi au maendokasi wa Gari .

6.Upatikanaji wa vifaa vya Gari husika pindi itakapohitajika kufanya matengenezo.

7.Aina za barabara unazokusudia kupita au kuzitumia Mara kwa Mara ktk mizunguko yako!

8.Uwezo wa kifedha wa kulimudu kulihudumia au upatikanaji wa mafundi wataalam ktk eneo husika kwa ajili ya matengenezo.

9.Aina au mifumo ya kuendesha Gari ikiwa mafuta ya diesel,petrol,gasi au umeme.

10.Je Gari unayokusudia kununua imetengenezwa na kampuni,kiwanda kinachoaminika ulimwenguni.

Zifuatazo ndizo kampuni aua aina ya gari  nzuri,bora,zinazoaminika na kununuliwa zaidi ulimwenguni kote:-

TOYOTA-1937 kampuni yenye makao makuu nchini Japan ndio kampuni inayouza na kutoa ana nyingi za Gari ulimwenguni kama Subaru,Lexus.

GENERAL MOTORS (GMC)-Mkao makuu nchini marekani inatengeneza Gari kama Chevrolet,Dodge,jaguar,lamboghunie,Cadillac,bughati n.k.

HYUNDAI-makao makuu ni Korea kaskazini.

HONDA 1946-Makao makuu Japan

VOLKSWAGEN-Makao makuu ni ujerumani.

Mercedenz Benz-1926 Makao makuu ni ujerumani.

FORD 1925-Makao makuu ni uingereza.

PEGEOUT-Makao makuu ufaransa.1882

RENAULTS-Makao makuu ufaransa.

AUDI 1932-Makao makuu ufaransa.

FIAT- 1899 Italia

IVECO-Italia

SUZUKI-Japan

NISSAN-uingereza 1933

BMW (British motor works)-Uingereza 1916

FERRARI-Italia 1947

ROLLS ROYCE-uingereza

ASTON MARTIN

PORSCHE-ujerumani 1931

BENTLEY

MAZDA 1920

ALFA ROMEO

DAIMLER

OPEL 1862

ISUZU-1916 japan

MISTUBISHI-1870 Japan

CHEVRON-1980

Duniani kuna mamia ya kampuni na viwanda vya magari ya aina mbalimbali na kuuza ulimwenguni kote,hivyo ni muhimu zaidi kupata ushauri wa wataalam wa magar kabla ya kufanya maamuzi ya kununua gari.

Maendeleo ya viwanda na teknolojia ya matumizi ya roboti yameleta mapinduzi maubwa na kurahisha kazi kufanyika kwa urahisi na haraka zaidi.

Kwa mfano kiwanda cha cha magari cha BMW ufunga (assembling) zaidi ya magari  800 kwa Siku moja pekee.

Ulimwenguni kote nchi zinazoongoza kwa kutengeneza nakuuza  kiwango kikubwa cha magari ni CHINA,USA,JAPAN,UJERUMAI,KOREA KUSINI NA INDIA.




















































  








Share :

Facebook Twitter Google+
0 Comments "NI NJIA ZIPI ZINAZOFAA ZAIDI KTK KUCHAGUA GARI ILIYO BORA,SALAMA NA IMARA ZAIDI?"

Back To Top