Siku ya ijumaa mei 5 2017 shirika la kutengeneza ndege la Commercial Aircraft Cooperation of China (COMAC) wamefanikisha ndoto kubwa ya taifa la china kujitengenezea ndege zake zenyewe za abiria ambayo walikuwa wakiiota kwa nguvu zote toka 1972 kwa kuanzishwa kwa shirika hilo la serikali.

Ndege hii ya Comc C919 imewavutia wateja wakubwa duniani na tayari mashirika mbalimbali ya usafiri wa anga wameshaagiza zaidi ya ndege 570 za aina hii kutoka kwa makampuni 23.

Rais wa china wa sasa Bwana XI JI PING amewambia wachina waache tabia ya kuona kununua vitu kutojka nje ni rahisi zaidi kuliko kujitengenezea wenyewe ndani.
Shirika la Comac tayari limeshatengeneza ndege 6 za majaribio maalum.

0 Comments "HATIMAYE CHINA YAJITENGENEZEA NDEGE KUBWA YA ABIRIA KWA KUTUMIA WATAALAM WA NDANI"