
Taarifa zilitofikia chanzo cha habari j ya sabau za kifo chake ni uvimbe liokwa ndani ya kichwa chake sehem za ubongo ambapo tayari alishakuwa ktk ratiba ya kufanyiwa upasuaji mkubwa ijumaa ya wiki hii ya tarehe 19/5/2017.
Dogo mfaume aliishi ktk nymba za wat walioathirika na utumiaji wa madawa ya kulevya kwa kipindi kirefu sana na kufanikiwa kuachana kabisa na utumiaji wa madawa hayo hatari,lakini sik za mbele hali haikwa nzuri ndipo alipopimwa na kktwa na vimbe huo ktk bongo wake na kupangiwa ratiba ya upasuaji lakini jitahada hizo hazikgonga mwamba ktokana na kifo chake hicho cha ghafla kilichohusishwa na matumizi ya madawa hayo.

0 Comments "DOGO MFAUME WA "KAZI YANGU YA DUKANI" AFARIKI"