
Zoezi hili la uhakiki wa taarifa mbalimbali na vyeti vya elimu za watumishi wote wa serikali ulianza mapema toka Rais Magufuli alipoinia madarakani baada ya serikali kugundua kuna idadi kubwa ya wafanyakazi kuliko uhalisia,watu wanatmia nyaraka sizizo halali ikiwemo vyeti feki,kutumia vyeti vya watu wengine,kuwepo kwa wafanyakazi hewa lakini wanalipwa mishahara na stahiki zao zote,wafanyakazi walioacha kazi au kufariki lakini bado wanalipwa mishahara pia.

Mwishoni mwa mwezi huu april 30 Rais anatarajia kupokea ripoti kamili ya wafanyakazi walio na taarifa na nyaraka za vyeti feki za elimu. Rais ameahidi kuwashughulikia bila kuangalia nani au ana cheo gani.
0 Comments "WATUMISHI ELFU TISA (9000) VYETI FEKI KUNYOLEWA VIPARA NA JPM APRIL 30 2017"