TETEMEKO LA ARDHI LABIPU TENA KAGERA Author hassan Sunday, April 30, 2017 Tetemeko la ardhi lililodumu kwa mda mchache mjini bukoba Mkoani Kagera juzi jumamosi usiku na kufanya wananchi wa eneo hilo kushikwa na Taharuki kubwa na kufanya watu kulala nje kwa kuhofia usalama mdogo wa maisha yao. Lakini hata hivyo Tetemeko hilo dogo halikuleta madhara yeyeote kwa watu hata mali za watu wa eneo hilo. Tetemeko kama hili limetokea kwa mara ya mwisho septemba 10 2016 na kuleta madhara makubwa kwa kuharibu majengo na mali mbalimbali za watu. Share : Facebook Twitter Google+ Previous Newer Post Next Older Post
0 Comments "TETEMEKO LA ARDHI LABIPU TENA KAGERA"