Waziri kuu wa israel Benjamin Netanyau akimshukuru Rais Donald Trump
Tutailinda israel kutokana na vitisho vya Hamas wa gaza,Hizbollah wa lebanon,syria na Iran
Dunia imeshachoka kusikia vitisho na matumizi ya silaha za kinyuklia na mashambulizi ya kujitolea mhanga.
Kamwe ktk utawala wangu sitokubaliana na vitendo vya ugaidi vinavyoendelea
Trump akisisitiza jambo fulani kwa wana wa israel ktk kutafuta suluhu na wapalestina
wakuu na viongozi wa kidini ya kiyahudi wakimuonyesha Trump vifaa vya kale
0 Comments "WANA-ISRAEL WAAHIDIWA ULINZI NA UFALME ZAIDI KUTOKA KWA MAREKANI"