
Tamasha hilo lilifanikiwa kuchukua watu wengi waliohudhuria ktk uwanja huo mkubwa wenye uwezo wa kuchukua zaidi ya watu 2,1000 uliofunguliwa july 15 1995,shambulizi hili linalohisiwa kufaywa na mshambuliaji wa kiume alipandikiza mabomu ya kujitengenezea mwenyewe lilitokea saa nne usiku kwa majira ya uingereza.

Zaidi ya simu za dharura 240 zilipigwa usiku huo,gari za kubeba wagonjwa 60 zilifika eneo la tukio na polisi zaidi ya 400 walikuwepo sehemu hiyo kusaidia majeruhi.
Polisi wanaendelea na uchunguzi wa gaidi huyo kujua kama ana mafungamano na kundi lolote la kigaidi au ni mwenyewe. Uingereza imekuwa ikikumbwa na mashambulizi haya ya kigaidi mara kwa mara hasa ktk makundi ya watu.

0 Comments "UINGEREZA SASA HAPAKALIKI:SHAMBULIZI LA KIGAIDI LATOA UHAI 22"